
Ni kawaida kuona wanamziki wetu kuomba kufanya collabo na wasanii waakubwa wanapokuja nchini
lakini hali ilikuwa tofsuti kwa Ambwene AY,kwa maelezo yake mwenyewe
amedai mwanamziki nguli kutoka nigeria aliyekunukisha kwenye Fiesta
2013,amemwomba wafanye wimbo wa pamoja..msikilize hapo chini

Post a Comment